12 Sep 2012 07:45
Maandamano ya wanahabari Mbeya
Baada ya kukosa kibali cha kuandamana jana, leo wanahabari mkoani Mbeya watafanya maandamano ya kupinga mauaji ya mwanahabari mwenzao marehemu Daudi Mwangosi. Hapa ni Katibu wa Mbeya Press Club, akiongelea maandamano hayo, wakati akihojiwa na kituo cha redio cha Bomba FM
media options
comments
There are no comments yet, be the first one to leave a comment!
leave a comment »
tags
No tags yet
info