12 Jun 2011 15:45
Mtoto aliyebakwa - Njia Panda
Dk. Isaac Maro katika kipindi cha Njia Panda kinachorushwa na Clouds FM radio, alikuwa na binti wa miaka 16 aliyebakwa kwa ukatili. Walikuwepo wataalamu wa Afya, Saikolojia na Sheria waliozungumzia madhara na sheria kuhusiana na hilo.
Binti alijieleza na hatimaye alikamilisha kwa kuomba msaada wa kusomeshwa.
Binti alijieleza na hatimaye alikamilisha kwa kuomba msaada wa kusomeshwa.
media options
comments
There are no comments yet, be the first one to leave a comment!
leave a comment »
tags
No tags yet
info
views
1